Jumapili, 4 Septemba 2016
Hotel Ya Nyota Tatu Arusha Yapigwa Mnada
Kumekuwa na ongezeko kubwa la Hotel kufungwa nchini huku nyingine zikibadilishwa matumizi na kuwa vyuo, hostel au matumizi mengine. Hali hii imeendelea kuwa mbaya huku hotel kubwa ya kitalii ya Nyota Tatu ya Snow Crest iliyopo jijini Arusha itapigwa mnada tarehe 23/ 9 /2016 ikiwa ni baada ya kesi inayoendeshwa na kati ya bodi ya wadhamini ya NSSF, Hoteli ya Snow Crest na Wildlife Safaris.
Rapa Lil Wayne Atangaza Kustaafu Muziki
Jumamosi, 3 Septemba 2016
Top Stories Katika Magazeti Leo Sept 4
Katika headline za magazeti ya Tanzania leo jumapili tarehe 4 mwezi wa 9 2016 kila gazeti limetoka na angle yake lakini pia kuna Stories kubwa katika Michezo, Siasa, na Hard News.
Na:Fadhila Kizigo>>> Mashindano Ya Netball Taifa Yafana

Kuelekea Fainali ya Netball kitaifa Mkoani Morogoro matokeo ya mechi ambazo zimechezwa
Jeshi-Star Vs TTPL 54-59, CMTU Vs Uhamiaji 22-71, Madini Vs Kinondoni 85-5, Polisi Arusha Vs Jiji Tanga 59=30, Arusha City Vs Ras-Kagera 85-35. Jeshi Star Vs Kinondoni 102-14, CMTU Vs Jiji Tanga 65-33, Polisi Moro Vs Madini 69-14 Polisi Arusha Vs Arusha City 54-43.
Kauli Ya Makonda Baada ya Kuahirisha UKUTA
Ni August 31, 2016 ambapo Chama cha Demokrasia Na Maendeleo Chadema kilitangaza kuahirisha mikutano, maandamano ya UKUTA kwa mwezi mmoja ili kutoa fursa kwa viongozi wa dini kutafuta muafaka. Aidha mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amezungumza baada ya chama hicho kuahirisha maandamano ya ukuta 'Maandamano hayajawahi kujenga shule, maandamano hayajawahi kuleta elimu, maandamano hayajawahi kushusha vitu bei maduka bali Maandamano ni Vurugu yaani kuondoka Amani na wale wanaodai demokrasia wanapaswa kwenda kutii tu kanuni zao za Bunge' Kwaiyo kwenye mkoa wetu si tu tarehe 1 basi hakuna mtu kuzurura mahali popote pale, Ukuta ni kiwango cha mwisho cha mtu kufikiri sasa ndio maana wenzetu wameshindwa mwisho wa siku wanatafuta fursa kwa viongozi wa dini kutafuta muafaka' 'Mimi nafikiri naomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania afanye kazi na atekeleze aliyoyasema kipindi cha uchaguzi ili vijana tufanye kazi katika viwanda mbalimbali tuachane na mambo ya UKUTA bali tuangalie vitu vya maendeleo'
Ijumaa, 2 Septemba 2016
Headline Za Magazeti Leo Sept 3
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)




